MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Philemon Ndesamburo
1. Yusuph Munga – Majengo Moshi.Utafanya nini kushawishi mchakato wa Katiba urudiwe maana huu wa sasa hauna maoni yetu?Jibu: Mchakato wa Katiba umekuja kutokana na azimio la Bunge na agizo ama msukumo...
View ArticleVan Vicker kuibua vipaji vya kuimba
Mtayarishaji filamu, muongozaji na mwigizaji Van Vicker kutoka nchini Ghana amefunguka kuwa baada ya kufanya mambo mengi na makubwa katika tasnia hiyo, kwa sasa ameamua kuugeukia muziki ili kutoa...
View ArticleNassib, Nampepeche kuwania Ubingwa wa Afrika Leo
Pambano la Ubingwa wa Afrika wa UBO linatarajiwa kufanyika Leo Jijini Dar es salaam kwa kuwakutanisha Issa Nampepeche akipanda Ulingoni na Nassib Ramadhani katika Pambano hilo la Roundi 10.0Kwa upande...
View ArticleUZINDUZI WA MSIMU WA 13 WA MBIO ZA KIMATAIFA ZA KILIMANJARO MARATHON...
Katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Seveline Kahitwa akiwa ameshika bendera kuashiria uzinduzi wa msimu wa 13 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathoni,Uzinduzi uliofanyika Hotel ya Kibo...
View ArticleBENKI MPYA YA MAENDELEO YA KILIMO(TADB) YAAHIDI KUTOA HUDUMA BORA ZA KIBENKI...
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Thomas Samkyi akizungumza katika warsha juu ya kujadili mpango wa maendeleo wa taasisi hiyo kwa miaka 25 ijayo. Warsha hiyo...
View ArticleMkurugenzi Mkuu wa NHC atembelea miradi Geita na Mwanza
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC ukitembelea nyumba za gharama nafuu zilizojengwa eneo la Bombambili, Geita kwa ajili ya kuuzia wananchi.Sehemu ya nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la...
View ArticleMATUKIO MCHEZO WA SIMBA ILIPOITUNGUA JKT RUVU BAO 2 - 1 UWANJA WA TAIFA...
Beki wa timu ya Simba,Hassan Isihaka (26) akiangalia namna ya kumzuia Mshambuliaji wa Timu ya JKT Ruvu,Jabir Aziz katika mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara,uliomalizika hivi pinde kwenye Uwanja wa...
View ArticleRaia 96 wa Burundi wakamatwa kwa ujangili Katavi Jana.
Jeshi la polisi nchini limefanikiwa kuwakamata watu 96 wengi wao wakiwa ni raia wa nchi jirani ya burundi, wanaotuhumiwa kujihusisha na ujangili kwenye hifadhi ya taifa ya Katavi.0Jeshi la polisi...
View ArticleKumbe "S.O.P.H.I.A" na "Ben Pol" ni mtu na....
You are hereBen PolStar wa muziki wa R&B hapa Bongo, Ben Pol ametoa ya moyoni kuwa kwa namna flani, ngoma yake mpya ya SOPHIA ni rekodi ambayo ameifanya maalum kwaajili ya mtu wake wa karibu...
View ArticleNikki Mbishi kuendelea kufanya muziki?
Star wa michano aliyetangaza kuacha muziki wiki kadhaa zilizopita, Dr Unju a.k.a Nikki Mbishi ameonesha dalili ya kubadilisha mawazo yake juu mpango huo.0Nikki Mbishi amesema kuwa endapo mtu...
View ArticleMsechu: Muziki mzuri unajitangaza wenyewe Kimataifa.
Msanii wa muziki Peter Msechu amesema kuwa, baada ya ngoma yake ya Nyota kufanya vizuri nnje ya mipaka ya nchi hususan huko Nigeria amegundua kuwa melody,ubora na mpangilio wa vyombo mara nyingi ndio...
View ArticleOrange and Ecobank launch money transfer service between Orange Money...
A joint strategy to enhance mobile financial services and to increase access to banking services across AfricaPARIS, France, February 5, 2015/ -- Orange (http://www.orange.com) and pan-African banking...
View ArticleSKYLIGHT BAND WAENDELEA KUTOA BURUDANI YA NGUVU JIJI DAR, NI IJUMAA HII TENA
Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita...
View ArticleNFT CONSULT WAPANIA KULETA MABADILIKO TANZANIA
Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja iliyoendeshwa na kampuni ya NFT Consult kwa maofisa rasilimali watu na watoa mafunzo kutoka makampuni mbalimbali nchini wakifanya usajili kabla ya kuanza kwa...
View ArticleTAMKO LA PAMOJA KWA SIKU YA KIMATAIFA YA KUKOMESHA UKEKETAJI DHIDI YA WA...
UNFPA, UNICEF, Shirikisho la Kimataifa la Wakunga na Shirikisho la Kimataifa la Magonjwa ya Wanawake na Uzazi.Wito kwa wafanyakazi wa afya duniani kote ili kuhamasisha kukomesha ukeketaji kwa mwaka...
View ArticleSERIKALI YAIPONGEA BENKI YA ACCESS KUFUNGUA TAWI LAKE JIJINI MBEYA
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Access wakati alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo jijini Mbeya...
View ArticleWAMASAI WATAKA UWEKEZAJI KUSITISHWA NGORONGORO
Kiongozi wa mila tarafa ya Ngorongoro, Augustino Pakai Olonyokei akizungumza na Meneja uendeshaji wa mtandao wa habari wa modewjiblog, Zainul Mzige aliyefika eneo hilo kwa ajili ya kuangalia miradi...
View ArticleSKYLIGHT BAND YAKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WAKE NDANI YA NYAMA CHOMA FESTIVAL
Kikosi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Band, Joniko Flower (kushoto) kutoa burudani kwa mashabiki wake ndani ya viwanja vya Leaders Club kwenye tamasha la Nyama Choma...
View ArticleWeather and Climate Services Underpin Sustainable Development in Africa
The Third Session of the African Ministerial Conference on Meteorology (AMCOMET) will be hosted by the government of Cabo Verde from 10th -14th FebruaryPRAIA, Cape Verde, February 9, 2015/ -- Ministers...
View ArticleNEWS ALERT: RAIS KIKWETE KUZINDUA JENGO LA KITEGA UCHUMI LA NSSF MJINI MOSHI LEO
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kuzindua Jengo la kitega uchumi la mfuko wa Taifa ya hifadhi ya jamii, (NSSF), iliyoko mjini Moshi, mkoani...
View Article