ZIARA YA KAMATI YA LEMBELI KATIKA HIFADHI YA ARUSHA
Mwenyekiti wa kamati ya ardhi,malaisili na mazingira,Mh James Lembeli akizungumza katika kikao cha watumishi wa hifadhi ya taifa ya Arusha na kamati ya ardhi,maliasili na mazingira.Mwenyekiti wa kamati...
View ArticleKAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YATEMBELEA HIFADHI YA TARANGIRE
Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya ardhi, maliasili na mazingira wakijiandaa kwa safari ya kuelekea katika hifadhi ya Tarangire, iliyoko wilayani Babati, mkoa wa Manyara Mbunge wa Luchoto, Dkt....
View ArticleLEMBELI ATAHADHARISHA KUPOTEA KWA TEMBO NA NYUMBU KUFUNGWA KWA MASHOROBA...
Mwandishi Wetu, Manyara Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli ametahadharisha kuhusu uwezekano wa wanyama wa hifadhi ya tarangire kutoweka kutokana na njia ambazo...
View ArticleMNYIKA ALIA NA MAJINA YA VIGOGO OPERESHENI TOKOMEZA SEHEMU YA PILI
Mbunge wa Ubungo ambaye ni mjumbe wa kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, John Mnyika, ameitaka serikali kuondokana na kigugumizi cha kuwataja kwa majina vigogo wa ujangili.Akizungumza na Waandishi...
View ArticleLIVERPOOL 5-1 ARSENAL UWANJA WA ANFIELD
Klabu ya Arsenal imejikuta ikiangukia pua mbele ya Liverpool katika uwanja wa Anfield baada ya kukubali kipigo cha mbwa mwizi cha 5-1 katika mchezo uliokuwa na ushindani wa hali ya juu.ushindi huo ni...
View ArticleMWANAMKE AUWAWA KIKATILI BAADA YA KUKATAA KUTOA PENZI
Familia ya Marehemu, Sekunda Mushi (42), aliyeuwawa kinyama usiku wa kuamkia, Januari 6, wakiwa na majonzi katika mazishi ya mwanamke huyo anayedaiwa kuuwa kwa sababu ya kimapenzi baada ya kuibuka kwa...
View ArticleCHADEMA YAIBURUZA CCM KILIMANJARO
MGOMBEA wa Udiwani kata ya Kiboriloni kwa tiketi ya Chadema,Frank Kagoma ameibuka Mshindi katika uchaguzi huo uliuohusisha vyama vitatu, Chadema, CCM na UDP.akitangaza matokeo ya uchaguzi huo, Msimazi...
View ArticleMBUNGE WA MBEYA VIJIJINI ACHARANGWA MAPANGA UCHAGUZI MDOGO KATA YA SANTILYA
Mbunge wa Mbeya Vijijini (CCM), Mchungaji Lackson MwanjaleMbunge wa Mbeya Vijijini (CCM), Mchungaji Lackson Mwanjale na Katibu wa Uchumi wa Wilaya, Shadrack Mwanjuguja walijeruhiwa kwa mapamga katika...
View ArticlePOLISI YAMSHIKILIA ALIYEMUUA HAWARA KIKATILI KILIMANJARO
Mwandishi wetu, Moshi. Polisi mkoani Kilimanjaro inamshikilia mfanyabiashara mmoja wa mjini Moshi baada kumuua kikatili mpenzi wa nje (hawara) kwa Rato baada ya mwanamke huyo kukataa kumpa penzi....
View ArticleCCM YATOA SHUKRANI KWA WANANCHI KUIMWAGA CHADEMA KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA...
NAPE NNAUYEDAR ES SALAAM, TanzaniaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewashukuru Watanzania kwa kukiamini na kukipatia ushindi wa kishindo katika uchaguzi mdogo wa udiwani uliofanyika juzi katika kata 27 na...
View ArticleHAFLA YA KUMKARIBISHA OFISINI DIWANI MPYA WA KATA YA SOMBETINI- ARUSHA ALI...
Diwani Mteule Mhe. Ally Bananga akisaini kitabu cha wageni ofisini Manispaa ya Jiji la Arusha, na Mhe. Ephata Nanyaro Diwani wa Kata ya Levolosi (pembeni kushoto) kwa nyuma ni Mbunge wa Arusha Mjini...
View ArticleTCRA YAANDA KONGAMANO LA MABADILIKO YA MFUMO WA UTANGAZAJI WA ANALOJIA KWENDA...
Mkurugenzi wa Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Habbib Gunze (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha Februari 10, 2014 juu ya kukamilika kwa maandalizi ya...
View ArticleTBL YAONGEZA DAU KILIMANJARO MARATHON, WASHINDI SASA KUCHOMOKA NA MILIONI 40.
Mkurugenzi wa Wild Frontiers ambao ni waandaaji wakuu wa Kilimanjaro Marathon, John Addison(kulia) Akizungumza na Meneja wa Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe. Na Mwandishi Wetu, Dar es...
View ArticleBREAKING NEWZZZZZZZ: STOO YA CCP YAWAKA MOTO
TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa, Stoo ya kuhifadhia vifaa vya maaskari katika chuo cha mafunzo ya polisi Moshi (MPA) maarufu kama CCP, imewaka moto.Kwa mujibu wa taarifa hizo...
View ArticleSOKOINE DAY FESTIVITIES: Monduli set to mark Sokoine anniversary
Edward Moringe SokoineMonduli residents are expected to mark the 30th anniversary since the death of Tanzanian Prime Minister Edward Moringe Sokoine through staging sports and entertainment activities...
View ArticleASKARI WA CHUO CHA MAFUNZO MOSHI (MPA) WAKIJITAHIDI KUZIMA MOTO MKUBWA...
Moja ya kifaa kilichopo chuoni hapo ambacho pia kilikuwa kikitumika kwa shughuli za kuzima moto katika jengo hilo .Mkuu wa chuo hicho, Matanga Mbushi amesema taarifa kamili ya moto huo itatolewa...
View ArticleRAIS KIKWETE ALIVYOZINDUA KAMPENI YA KUPIGA VITA UUAJI WA TEMBO NA FARU...
Rais Jakaya Kikwete (kulia) akibofya kwenye kompyuta kuzindua rasmi mabango hayo ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya Tembo na Faru kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,...
View ArticleMB DOGG KUSAMBAZA ‘Baby Mbona Umenuna’?
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mbwana Mohammed maarufu kama Mb Dogg, yupo kwenye mipango ya kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Baby mbona umenuna?Mb...
View ArticleMZEE MWINYI AIFAGILIA TAASISI YA AGA KHAN KATIKA SHUGHULI ILIYOFANYIKA...
Rais Mstaafu wa awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akikaribishwa katika hafla ya Maonyesho ya picha kuhusu Taasisi ya Aga Khan, jana kwenye ukumbi wa Diamod Jubilee jijini Dar es Salaam.Mzee...
View Article