MBUNGE MOSHI VIJIJINI ALIA KUCHEZEWA RAFU FACEBOOK
MBUNGE WA MOSHI VIJIJINI-DKT. CYRIL CHAMIRipota Wetu, Moshi Jinamizi la Urais linazidi kutikisa medani za siasa nchini, baada ya Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini, Dk. Cyril Chami (CCM) kudai...
View Article‘JAKAYA KIKWETE SPORTS VILLAGE' KUJENGWA DODOMA
MAANDALIZI ya ujenzi wa kijiji cha michezo kitakachojulikana kama Jakaya Kikwete Sports Village yanaendelea vizuri, ambako tayari Ikulu, Baraza la Michezo la Taifa (BMT) na Wizara ya Michezo wametoa...
View ArticleKATIBA YA CHAMA MRIJO IMEZINDULIWA RASMI MJINI DODOMA
Mhariri wa Gazeti la Mtanzania Jumamosi, Khamis Mkotya, mwenye shati la Kitenge, akishiriki kikamilifu kuzindua Katiba ya Chama Cha Watu Mrijo wilayanai Chemba, mkoani Dodoma, wanaoishi jijini Dar es...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI KATIKA AJALI YA TRENI ILIYOCHUKULIWA NA MAFURIKO
Wafanyakazi walioajiriwa na shirika la Reli Tanzania (TRL) wakitoa mchanga kwenye kichwa cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa kuamkia katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya Mpwampwa. Katika...
View ArticleUSAJILI MBIO ZA SOKOINE MINI MARATHON 2014 WAANZA RASMI
Namba zimeanza kutolewa kwa washiriki wa mbio za Sokoine Mini Marathon Km 21 na Km 2 ambazo zitatimua vumbi Aprili 12, 2014 Monduli mkoani Arusha, rais Jakaya Kikwete ndiye atakayepuliza kipenga cha...
View ArticleNHC KILIMANJARO YAKUMBUKA WAHANGA WA MVUA YA UPEPO WILAYANI MWANGA NA HAI.
Meneja wa shirika la nyumba la taifa mkoa wa Kilimanjaro, Shehe Kombo akizungumza kabla ya kukabidhi msaada wa bati kwa wahanga wa mvua iliyoambatana na Upepo mkali katika wilaya za Hai na Mwanga.Mkuu...
View ArticleJERRY SILAA AGAWA DAWATI 300 KWA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA ILALA
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, ambaye pia ni Diwani wa kata ya Gongo la Mboto Jerry Silaa akiwasili kwenye shule ya sekondari Pugu kwa ajili ya kukabidhi madawati 300 kwa shule tatu zilizopo...
View ArticleCCM YAENDELEA KUVUNJA NGOME ZA WAPINZANI KUELEKEA UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE...
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye sambamba na Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete wakiyarudi magoma wakati wa Mkutano wa Kampeni za...
View ArticleWATANZANIA TAKRIBANI MILIONI 3.3 HUTUMIA HUDUMA ZA KIBENKI : GAVANA BENNO NDULU
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Profesar Benno Ndulu akikata utepe kuzindua kitabu cha ripoti ya utafiti Tanzania katika masuala ya uchumi uliofanyika leo Aprili 2, 2014 katika ukumbi wa Makao...
View ArticleTIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA
Timu nzima ya Tanzania Movie Talents kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza safari ya kuelekea Mwanza kwaajili ya shindano la kutafuta Vipaji vya...
View ArticleBAA YA MAKANYAGA BINGWA WA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA 2014 MOSHI
Mwakilishi wa Baa ya Makanyaga, Rogarth Frimini Massawe (aliyeshika kombe) katika picha ya pamoja na wawakilishi wa Bia ya safari lager akiwemo Meneja wa Bia hiyo, Oscar Shelutete (wa tatu kushoto...
View ArticleTAASISI YA BRIEN HOLDEN KUZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA...
Ofisa Mkazi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision, Eden Mashayo akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana kuhisina na uzinduzi wa upimaji macho utakao fanyika Dar es Slaam...
View ArticleALIBABA AMDUNDA ROY MMBUNDA KWA KO
Bondia Abdallah Mwakipesile wa Moshi manispaa (Glove Nyekundu), akipambana na Emanuel Massawe wa Kibosho, katika pambano la awali uzito wa Kilo 60, kabla ya mpambano wa Ubingwa wa Taifa kati ya Alibaba...
View ArticleTPA YATOA MSAADA WA MADAWATI 110 SHULE YA MSINGI MAHUMBIKA MKAONI LINDI
Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela(kushoto) akikabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) wakati wa hafla ya...
View ArticleBRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA...
Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu (katika) akiakata utepe kuashiria uzinduzi wa miwani ya Kibo ambayo itamuwezesha mtanzania yeyote kuweza kupimamacho...
View ArticleSHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE...
Majaji wa mashindano ya kusaka vipaji vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa makini kutazama kipaji kilichokuwa kikionyeshwa na mmoja wa washiriki (hayupo pichani) wakati...
View ArticleHAFLA YA KUUAGA MWILIWA MAREHEMU MEJA JENERALI KELVIN MSEMWA;KUSAFIRISHWA...
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza mamia ya waombolezaji na viongozi mbalimbali wa Serikali na JWTZ katika hafla ya kuaga mwili wa aliyekuwa Kamishna wa Jeshi wa Wizara ya...
View ArticleTBC ILIVYOKUTANISHA WADAU WA MUZIKI WA DANSI JUZI
Wadau wa muziki wa Dansi katika picha ya pamojawadau wa muziki wa dansi Asha Kigundula na mwandishi wa gazeti la mwananchiBaadhi ya wasanii wa bendi mbalimbali wakiwa katika mdahalo wa muziki wa dansi...
View ArticleMAHAKAMA KUU KANDA YA MOSHI YAAWACHIA HURU WASHTAKIWA 9 NA KUWATIA HATIANI 3...
Mshtakiwa namba 3, Kalisti Joseph Kanje ( aliyebeba mafaili), Mshtakiwa namba moja, Samwel Gitau Saitoti (alifunika uso) na mwenzake Mshtakiwa namba 2, Michael Kimani wakitoka nje ya mahakama kuu...
View Article3 BORA WA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA KANDA YA ZIWA...
Baadhi ya washiriki wakionyesha uwezo wao wa kuigiza mara baada ya kupewa muswada (script).Majaji wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents, Single...
View Article