TWANGA PEPETA KUHAMISHIA NGUVU MIKOANI; KUTEMBELEA , MBAMBABAY MKOANI RUVUMA
Kiongozi wa bendi ya Twanga Pepeta, Luiza Mbutu, akifanya mambo jukwaani katika moja ya maonyesho ya bendi yake.Na Kambi Mbwana, Dar es SalaamBENDI ya The African Stars, Twanga Pepeta, itakuwa nje ya...
View ArticleUHURU WA KUPENDA NA KUPENDWA UNAVYOATHIRI PENDO HURIA
Uhuru wa kupenda au kupendwa ni moja ya haki binadamu ambayo kama zilivyo haki yoyote ile inatakiwa iheshimiwe kwa sababu kila mmoja ana haki ya kuoensha hisia zake katika kile ambacho moyo wake...
View ArticleGURJIT DHANI BINGWA WA VAISAKHI RALLY 2014
Dereva Gurjit Dhani wa Subaru kushoto na msaidizi wake Shameer Yusuf kulia wakishangilia ushindi wao baada ya kuibuka mabingwa wapya wa mashindano ya magari ya Vaisakhi Rally 2014Gari namba 2, aiana ya...
View ArticleRC KILIMANJARO AFANYA ZIARA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI...
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiwa ameambatana na mkuu wa wilaya ya Moshi,Ibrahim Msengi wakiwa na mwenyeji wao mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi,(MUWSA)mhandisi...
View ArticlePOLISI YANASA KIWANDA CHA KUTENGENEZA KONYAGI FEKI.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro Robert Boaz akitizama sehemu ya mbele ya kiwanda cha kutengenezea Konyagi feki ambapo muonekano wake ni maduka na saloon.Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro...
View ArticleRIDHIWANI KIKWETE NGOMA IMENOGA CHALINZE; LAIZER NA OLE SENDEKA WAJITOKEZA...
"Kijana wangu,hapa ndipo ilipokuwa Ngome ya Baba yako na sie tunaimani na wewe" alisikika akisema Mzee huyu kumwambia Mgombea Ubunge,Ridhiwani Kikwete wakati alipofika kuhani Msiba wa Mtoto wa Mzee...
View ArticleBAA YA MAKANYAGA BINGWA WA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA 2014 MOSHI
Mwakilishi wa Baa ya Makanyaga, Rogarth Frimini Massawe (aliyeshika kombe) katika picha ya pamoja na wawakilishi wa Bia ya safari lager akiwemo Meneja wa Bia hiyo, Oscar Shelutete (wa tatu kushoto...
View ArticleKAMPUNI MPYA YA MTANDAO WA SIMU ZA MIKONINI SMART TELECOM YAZINDULIWA JIJINI...
Viongozi wakuu wa kampuni ya Smart Telecom,Afrika Masharikii wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washindi waliojipatia zawadi kupitia mtandao huo,baada ya kushiriki kwenye kampeni ya GIVE US A...
View ArticleREDDS MISS TANZANIA 2014 YAZINDULIWA RASMI LEO DAR ES SALAAM
Meneja wa kinywaji cha Redd's Original Victoria kimaro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya kuzinduliwa kwa mashindano ya Redd,s Miss Tanzania 2014kulia ni mkurugenzi wa...
View ArticleTFF YAMTANGAZA MADADI KUWA MKURUGENZI MPYA WA UFUNDI
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Salum Madadi kuwa Mkurugenzi wake mpya wa Ufundi.Uteuzi huo umefanya na Kamati ya Utendaji katika kikao chake cha dharura kilichofanyika jana...
View ArticleRAIS KIKWETE KUZINDUA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua rasmi shughuli za bunge la kitaifa kuhusu marekebisho ya katiba mjini Dodoma katika hatua itakayoanzisha rasmi mjadala wa kitaifa kuhusu...
View ArticleRAIS KIKWETE AVURUGA BUNGE LA KATIBA; APINGA SERIKALI TATU
Rais Jakaya Kikwete jana alibadili upepo wa mchakato mzima wa Katiba baada ya kutoa maoni yake binafsi, akitaka muundo wa Serikali mbili badala ya tatu zilizopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya...
View ArticleSOKOINE MEMORIAL MINI MARATHON INAKUALIKA MONDULI APRILI 12, 2014
Gidabuday,W.F.Tarehe 12 Aprili 2014 Tanzania inatimiza miaka 30 tangu kumpoteza kiongozi wake shupavu aliyefariki kwaajalimbaya ya gari Aprili 12 1984 mkoani Morogoro.Si mwingine bali ni aliyekuwa...
View ArticleWAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA KWA MASAA 9 MJINI MOSHI.
Kituo kikuu cha mabasi yaendayo sehemu mbalimbali ndani ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha ikiwa haina gari baada ya wamiliki wa magari yaendyo maeneo hayo kugoma kutoa huduma.Kutokana na mgomo huo ndipo...
View ArticleBREAKING NEWZ:POLISI KILIMANJARO YAFANIKIWA KUZIMA MAANDAMANO YA WANAFUNZI...
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro- Robert BoazMwandishi wetu, MoshiJESHI la polisi mkoani Kilimanjaro, kikosi cha kutuliza ghasia (FFU)kimefanikiwa kuzima maandamano makubwa ya Wanafuzni ya Shule ya...
View ArticleWANANCHI WA MJI KOROGWE WAUPOKEA KWA KISHINDO MPANGO WA TIKA, WACHANGIA MIL....
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Ngalawa akifungua mkutano wa siku ya wadau wa Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA) ambapo Lengo la mkutano huo ilikuwa ni kuchukua maoni yao na kuwaeleza...
View ArticleMWANAMKE BORA WA MWAKA 2014
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda Leo atakuwa mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013-14, itakayowakutanisha wanawake wanne itakayofanyika kesho katika Ukumbi wa The African...
View ArticleMIGOGORO YA ARDHI YASHIKA KASI HANDENI;WANANCHI WALAOLAMIKA KUPORWA ARDHI...
Na Mwandishi wetu, Aliyekuwa HandeniWANANCHI wa Kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, mkoani Tanga, wamemlalamikia mwekezaji anayejulikana kwa jina la Amina Singa, kuwa anapora ardhi zao, huku...
View Article