Quantcast
Channel: Kijiwe chetu blog
Browsing all 1649 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: DKT SENGONDO MVUNGI HATUNAYE TENA!!

Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa kutoka katika Hospitali ya Milpark ya Afrika Kusini zinaripoti kwa masikitiko makubwa kuwa aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Dkt. Sengondo Mvungi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAFARA WA RAIS KIKWETE WAPATA AJALI GEITA NA KUJERUHI WATU 5 WAKIWEMO...

Msafara wa Rais  wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete mkoani Geita, leo umeingia dosari baada ya gari moja lilokuwa kwenye msafara huo kupinduka na kujeruhi watu watano.Gari la Bohari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA ZA KINANA MIKONI ZAZAA MATUNDA

NA BASHIR NKOROMOCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema ziara ambazo zimekuwa zikifanywa na Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, zimeanza kuzaa matunda hasa upande wa utatuzi wa kero zinazowakabili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI KILIMANJARO LlNAMSHIKILIA KIJANA MWENYE UMRI WA MIAKA 20 KWA...

Na Paul william, MoshiJeshi la polisi mkoani Kilimanjaro limewakamata watu  watatu kwa kosa la kufanya kitendo cha kinyama cha kulawiti mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NANI KUIBUKA MWANASOKA BORA ZAIDI AFRICA?

Fursa ni yako kumchangua mwanasoka unayedhani ni nyota zaidi barani Afrika kati ya hawa watanoMajina ya wanaowania taji la BBC la mchezaji bora zaidi barani Afrika mwaka wa 2013 yametangazwa rasmi hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ATUA MTWARA ASUBUHI HII

*NI MAANDALIZI YA KUANZA ZIARA YA SIKU 22 KATIKA MIKOA YA RUVUMA NA MBEYA*LEO ANAKUTANA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM WILAYA YA MSASI.Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasilimia baadhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA, NAPE NA DK. MIGIRO WAWASILI TANDAHIMBA NA MASASI

 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dj. Asha-Rose Migiro naKatibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiungana na wananchi kutembea kwa mguu katika barabara ya Mtwara Masasi, ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIMWANA VINAVYOTESA KWENYE MAJARIDA MAKUBWA BARANI AFRICA

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. BILAL, WAZIRI MKUU PINDA WAONGOZA KUAGA MWILI WA DKT.SENGONDO MVUNGI...

Jeneza lenye mwili wa marehemu Dkt.Sengondo Mvungi, likiwasili kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kuagwa Jeneza likipelekwa sehemu iliyoandaliwa Mashada ya maua na picha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wacheza kikapu Tanga waomba msaada kuipeleka timu Mbeya.

 Na mwandishi wetu Mabingwa watetezi wa michuano ya taifa ya kikapu (Taifa Cup) kwa mwaka jana, bado hawajathibitisha ushiriki wao katika michuano ya mwaka huu kutokana na ukata wa fedha. Kwa mujibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA TANAPA AKUTANA NA WAONGOZA WATALII KILIMANJARO

Mkurugenzi mkuuwa shirika la hifadhi za taifa (KINAPA) Allan Kijazi akizungumza katika mkutano mkuu wa chama cha  waongoza watalii uliofanyika katika ukumbi wa YMCA.Makamu mwenyekiti wa chama cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANAPA KWA KUSHIRIKIANA NA MWEKA WILDLIFE WANAFIKIRIA KUBALISHA MTAALA WA...

ALLAN KIJAZISHIRIKA la hifadhi za Taifa(TANAPA) kwa kushirikiana na chuo cha uhifadhi na usimamizi wa wanyapori Mweka,wanafanya utafiti ili kupata  mitaala ya kufundishia waongozaji watalii katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AMALIZA ZIARA TUNDURU KWA KISHINDO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Baraza la Iddi, mjini Tunduru, akiwa katika ziara ya kukagua utelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM, kusililiza kero...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO CHA POLISI MOSHI MABINGWA JUDO

Na Mwandishi wetuKLABU ya Mchezo wa Judo chuo cha taaluma ya polisi Moshi (MPA)  imefanikiwa kuchukua ubingwa wa jumla katika mashindano ya kwanza ya  mchezo huo yaliyofahamika kama First Moshi Polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FOMU ZA UHURU MARATHON KUPATIKANA KATIKA KLABU YA HYAC MOSHI IJUMAA IJAYO

Na Fadhili Athumani, MoshiKLABU ya vijana ya mchezo wa Riadha ya Holili (HYAC), imetuliwa kuwa kituo cha kutoa fomu za ushirki wa mbio za Uhuru Marathon zitakazofanyika kuanzia Desemba 8 mwaka huu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU WAFURIKA MKUTANO WA KINANA SONGEA

KATIBUMkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo, Novemba 18, kwenye Uwanja wa Soko jipya, Mjini Songea mkoani Ruvuma. Kinana yupo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ALIPOWASILI SONGEA JANA, NOV 18,

Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ukipita jana, Nov 18, 2013, katika 'mkeka' wa barabara, ulipokuwa ukitoka Namtumbo kwenda Songea, Kinana akiwa katika ziara mkoani Ruvuma, kukagua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKUTANA NA WASOMI SONGEA

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza, katika mkutano wake na wanachama wa CCM kutoka Vyuo vya elimu ya Juu, leo usiku mjini Songea. Pamoja ana mambo mbalimbali , Kinana amewataka wasomi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA MTOTO BEATRICE MROKI AKIPATA KIPAIMARA KANISA LA KKKT...

Novemba 17, 2013 ilikuwa siku ya furaha sana kwa Beatrice Mroki (kushoto) kwa kupata sakrementi yake ya Kipaimara baada ya kuhitimu mafunzo ya miaka miwili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN KUCHUNGUZA WAKIMBIZI WA DABAAB

Wakimbizi katika kambi ya Dadaab nchini KenyaUmoja wa Mataifa unajiandaa kuanza utafiti kwenye kambi kubwa ya wakimbizi duniani ya Dadaab iliyopo Kaskazini mwa Kenya ili kujua wakimbizi karibu nusu...

View Article
Browsing all 1649 articles
Browse latest View live