Quantcast
Channel: Kijiwe chetu blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1649

TANZANIA: MAGUFULI ATEUA WAKUU 13 WAPYA WA MIKOA

$
0
0
Rais wa Tanzania amewateua wakuu 13 wapya wa mikoa miongoni mwa orodha mpya ya wakuu 26 wa mikoa iliyotangazwa leo na ikulu ya rais.


Rais John Pombe Magufuli amewahifadhi wakuu 13 waliohudumu katika serikali ya Jakaya Kikwete. Uteuzi huo umetangazwa na katibu mkuu kiongozi, Balozi Mhandisi John William Kijazi

Kwa mujibu wa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliyotiwa sahihi na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, katika ikulu, Gerson Msigwa, Viongozi hao wote walioteuliwa wataapishwa katika hafla maalum itakayoandaliwa jumanne tarehe 15 Machi, 2016 saa tatu asubuhi jijini Dar es salaam.


Orodha ya wakuu wa mikoa walioteuliwa ni kama ifuatavyo;

Paul Makonda Dar es Salaam
Ezekiel Elias Kyunga Geita
Salum Mustafa KijuuKagera
Raphael MuhugaKatavi
Emmanuel MagangaKigoma
Godfrey ZambiLindi
Dkt. Steven KebweMorogoro
Zerote StevenRukwa
Anna Malecela KilangoShinyanga
Methew MtigumweSingida
Antony MatakaSimiyu
Aggrey MwanriTabora
Martine ShigelaTanga
Jordan Mungire RugimbanaDodoma
Said Meck SadickKilimanjaro
Magesa MulongoMara
Amos Gabriel MakallaMbeya
John Vianey MongellaMwanza
Daudi Felix NtibendaArusha
Amina Juma MasenzaIringa
Joel Nkaya BenderaManyara
Halima Omary DendeguMtwara
Dkt. Rehema NchimbiNjombe
Evarist NdikiloPwani
Said Thabit MwambunguRuvuma
Chiku GalawaSongwe (Mkoa mpya)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1649

Trending Articles