ARSENE WENGER AJITETEA BAADA YA KICHAPO CHA BARCELONA
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anaamini vijana wake walicheza vyema uwanjani Nou Camp licha ya kulazwa 3-1 na Barcelona Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya. Arsenal walilazwa kupitia mabao ya Neymar, Luis...
View ArticleRIPOTI: DONALD TRUMP AKIWA RAIS DUNIA HAITOKUWA SALAMA
Shirika moja la kimataifa limesema ushindi wa Donald Trump unachukuliwa kuwa miongoni mwa hatari 10 kuu zaidi zinazokabili dunia. Shirika hilo la Economist Intelligence Unit linaonya kuwa iwapo Bw...
View ArticleKENYA: WANANCHI WALALAMIKA KUONGEZEKA KWA UFISADI
Utafiti Uliofanywa na taasisi ya serikali ya kupambana na rushwa nchini Kenya, inaonyesha kuwa nusu ya raia nchini humo wanaamini kuna ongezeko la matukio ya rushwa katika kipindi cha utawala wa rais...
View ArticleARUSHA: Raia wa Kenya waishitaki Tanzania
Raia kumi wa Kenya wameituhumu Serikali ya Tanzania, kwa kuwateka jijini Maputo nchini Msumbiji Januari 2006, ambako walikuwa wakiishi kihalali wakitafuta fursa za biashara, na kisha kuwapakiza kwenye...
View ArticleHABARI GUMZO: KUTANA NA MSICHANA ANAYETOKA DAMU MACHONI
Huyu ni Marnie-Rae Harvey ambaye hutokwa na damu machoni lakini madaktari hawaelewi chanzo chake ni nini. Msichana huyo mwenye umri wa miaka 17 anasema kuwa hawezi kutoka nje na hana marafiki kwa...
View ArticleZANZIBAR: KUELEKEA UCHAGUZI WA JUMAPILI, WANAHABARI WATIWA KASHIKASHI
HALI ya kisiasa visiwani Zanzibar imezidi kuwa tete baada ya vyama viwili vyenye wanachama na wafuasi wengi kutangaza kutovumiliana. Vyama hivyo, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF)...
View ArticlePREZZO AANIKA 'HIV STATUS' YAKE INSTAGRAM
KUFUATIA uvumi wa muda mrefu kwamba, Rapa Prezzo, raia wa Kenya ameathirika na virusi vya gonjwa hatari la Ukimwi, hatimaye msanii huyo ameibuka na kuvunja ukimya kwa kuanika 'Status' yake.Uvumi kuhusu...
View ArticleDIAMOND APANGA 'KUMDUNGA' ZARI MIMBA NYINGINE.
MKALI wa Afro Pop, Afrika Mashariki, Diamond Platnumz kutoka Bongo, ambaye nyota yake imekuwa ikishine kwa miaka 7 mfululizo, ameeleza mikakati yake kuwa ana mpango wa kumpa mimba nyingine malkia wake...
View ArticleWASANII WASIPOJIFUNZA KWA CHID BENZ NDIO BASI TENA.!
By Malisa GJ.! [truncated by WhatsApp]Sikutaka kuandika chochote leo kwny ukurasa huu baada ya kudedicate kwa mwanadada mtanzania aliyebuni sofware yake Leah-Buzuka. Lakini nimelazimika kuandika...
View ArticleHATIMAYE! MWANDISHI WA DW ALIYEPOTEA APATIKANA JIJINI DAR ES SALAAM
Mwakilishi wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle visiwani Zanzibar anayeiandikia Gazeti la Mwananchi linalomilikiwa na Kampuni ya Mwananchi Communication, Salma Said, ambaye alikuwa ametoweka kwenye...
View ArticleHARAMBEE STARS PIGA HAO! WAKENYA TWENDE KAZI!
Kesho kuanzia majira ya saa moja jioni, kwenye uwanja wa Estadio Natinal 24 de Satembro, mjini Bissau, timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars, watakuwa kibaruani, katika mchezo wa raundi ya kwanza,...
View ArticleRAIS KENYATTA NA MUSEVENI WASHINDWA KUFIKIA MWAFAKA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA...
Rais Uhuru Muigai Kenyatta wa Kenya na mwenzake Yoweri Kaguta Museni wa Uganda sasa watalazimika kukutana tena wiki mbili zijazo, kwa ajili ya mazungumzo kuhusu uwezekano wa kupitisha bomba la mafuta...
View ArticleTANZANIA: MABALOZI WAKOSOA UCHAGUZI ZANZIBAR
Mabalozi wa nchi za Ulaya na Marekani wamekosoa uchaguzi wa marudio uliofanyika visiwani Zanzibar Jumapili. Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt Ali Mohammed Shein ametangazwa mshindi wa uchaguzi...
View ArticleUTAFITI: ELIMU HUNUFAISHA HADI WAHALIFU
Wasomi ambao wamegeukia wizi kama njia ya kujichumia riziki hupata fedha nyingi kuwazidi wezi ambao sio wasomi. Utafiti uliofanya na chuo kikuu cha Essex nchini Uingereza kwa ushirikiano na kile cha...
View ArticleTANZANIA: Bayport yakabidhi hati za viwanja vya Vikuruti
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamTAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mikopo imekabidhi hati za viwanja vya Vikuruti, wilayani Kibaha, mkoani Pwani kwa baadhi ya wateja...
View ArticleTANZANIA:Wakimbizi Kigoma waadhimisha Siku ya Maji Duniani
Jana wakimbizi kutoka katika kambi za Nyarugusu na Nduta zilizopo mkoani Kigoma waliungana na watu wengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji duniani ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni maji safi kwa...
View ArticleTANZANIA: TIGO YATOA MILIONI 300 KUDHAMINI WANAFUNZI WA TEHAMA VYUO VIKUU NCHINI
KAMPUNI ya Simu ya Tigo Tanzania kwa kushirikiana na Dar Teknohama Business Incubator (DTBi) leo wametangaza kudhamini wanafunzi tisa wanaochukua mafunzo ya Tehama katika vyuo vikuu vya hapa kwa jumla...
View ArticleWAHOLANZI WAWILI WAKAMATWA NA TUMBILI 61, KATIKA UWANJA WA NDEGE, NCHINI...
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,Kamishna Msaidizi wa Polisi,Wilbroad Mutafungwa akiwa ofisini kwake muda mfupi kabla ya kuzungumza na wanahabari. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya...
View ArticleNGUVU YA MITANDAO: MKENYA ALIYEJIPACHIKA KATIKA PICHA ZA WENGINE (PHOTOSHOP)
Mwanamke mmoja kutoka Kenya amejiweka katika msururu wa picha za likizo za watu wengine katika mtandao wake wa facebook. Baada ya kushindwa kuwa na uwezo wa kusafiri kwenda barani Asia,Sevelyn Gat...
View ArticleKIPA WA ZAMANI WA SIMBA AFARIKI DUNIA
Aliyekuwa kipa nambari moja wa timu ya Simba na Uganda Abel Dhaira ameaga dunia. Dhaira mwenye umri wa miaka 28 alikuwa anaugua saratani. Dr. Bernard Ogwel, wa shirikisho la soka nchini Uganda FUFA...
View Article