KAJALA AKUNWA NA KUMWAGA MAHELA KWA WAIMBAJI WA SKYLIGHT BAND WANAOTOA...
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village huku akipewa sapoti na Digna Mbepera.Digna Mbepera na Bela Kombo...
View ArticleKWIECO YATOA ELIMU YA HAKI ZA BINADAMU KWA WAANDISHI WA HABARI MKOANI...
Afisa Habari wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu mkoani Kilimanjaro (KWIECO), Veronica Ollomi akifafanua jambo katika Warsha ya siku mbili kwa waandishi wa Habari wa mkoa wa Kilimanjaro,...
View ArticleWANAHABARI WATEMBELEA GEREZA KUU LA WANAWAKE KINGOLWIRA - MOROGORO,...
Mkuu wa Gereza Kuu la Wanawake Kingolwira, Mrakibu Mwandamizi wa Magereza, Loyce Ruhembe akiwakaribisha Wanahabari ambao wakitembelea gerezani hapo Desemba 19, 2014. Wanahabari hao wapo katika ziara ya...
View ArticleWashindi wa shindano la AppStar wakabidhiwa zawadi zao
Mshindi wa kwanza wa shindano la AppStar tabaka la wabunifu waliobobea Roman Mbwasi akielezea jambo wakati wa shughuli ya kukabidhi zawadi kwa washindi hao iliyofanyika makao makuu ya Vodacom Tanzania...
View ArticleUNESCO YAFADHILI MAENDELEO YA SAYANSI AFRIKA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye mahafali ya pili ya Taasisi ya Afrika ya Nelson Mandela ya Sayansi na Teknolojia yaliyofanyika jijini Arusha...
View ArticleWATANZANIA WASHAURIWA KUITUMIA NEEMA YA GESI KUPELEKA HIFADHI YA JAMII KWA...
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,na Mwenyekiti wa mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha,...
View ArticleWAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO QATAR
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Mama Tunu Pinda wakizungumza na Mchezaji Mwinyi Kazimoto ambaye ni Mtanzania anayecheza soka la kulipwa katika timu ya Al Markhiaya nchini Qatar, katika mkutano kati...
View ArticleTanzania haiwezi kuendeshwa kwa ramli- J K
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa kamwe Tanzania, kama ilivyo nchi nyingine yoyote duniani, haiwezi kuendelea kwa kutegemea ramli bila kuwekeza...
View ArticleIringa kuongeza vivutio vya Utalii
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza, amesema mkoa wake utapata jengo la makumbusho la kisasa kabisa litakalokuza sekta ya utalii pamoja na kuwawezesha wajasiriamali wadogo na kuongeza ajira kwa jamii...
View ArticleDk.Bilal Kuzindua majengo Taasisi ya Sheria leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa majengo ya kudumu ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa...
View ArticleVODACOM TANAZANIA YAENDESHA ZOEZI LA KUWAPIMA KIWANGO CHA KILEVI MADEREVA...
Askari Polisi wa kikosi cha usalama barabarani ,CPL Miraji Yahaya (kulia) akimpima kiwango cha kilevi, Manase Temaeli, dereva wa gari la Machame Safari lenye namba za usajili T 742 BDE ,linalofanya...
View ArticleHATIMAYE RAIS ATEGUA KITENDAWILI CHA SAKATA LA ESCROW, ATENGUA UWARIZI WA...
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na taifa kupitia Wazee wa Dar es Salaam leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik na...
View ArticleTASWIRA ZA MKUTANO WA JK NA WAZEE WA DAR ES SALAAM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuzungumza na Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI MAJENGO YA TAASISI YA MAFUNZO YA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria...
View ArticleTAMKO LA MECKI DHIDI YA MAHUSIANO YASIYORIDHISHA KATI YA WAANDISHI WA MKOA WA...
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Kilimanjaro (MECKI), Rodrick Makundi (Aliyesimama) akatika moja ya mafunzo. (Picha na Maktaba Yetu).Klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Kilimanjaro...
View ArticleKampeni ya Usalama barabarani ya“Wait to Send”yawafikia madereva Mbeya
Ofisa wa Jeshi la Polisi – Kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Mbeya Mkunde Said (kushoto)akimpima kiwango cha pombe mwilini dereva wa basi la kwenda mikoani, Fikiri Sabigo kwa kutumia kifaa maalum...
View ArticleWADAU WA MADINI WALALAMIKIA GHARAMA ZA LESENI....
WADAU wa ununuzi wa madini ya kati (TASGEDO), na wale wa vyama vya wachimbaji nchini (REMAS) wamepinga hatua ya serikali kupandisha mara dufu gharama ya leseni za utafiti na uchimbaji na leseni za...
View ArticleMahamaka kuanza kusikiliza kesi ya IPTL na PAP leo
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam nchini Tanzania leo itaanza kusikiliza kesi ya maombi ya makampuni ya kuzalisha umeme ya IPTL na PAP ya kutaka kuzuia utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu kashfa...
View ArticleJESHI LA POLISI TABORA LAKAMATA WAWILI KWA KUTENGENEZA MAGOBOLE
Jeshi la Polisi Mkoani Tabora limewakamata watu wawili wanaojihusisha na utengenezaji wa silaha za moto aina ya magobole, zinazohusika katika uhalifu.0ACP Suzan KagandaKatika msako unaoendeshwa na...
View ArticleELIMU KATIKA MAENEO YA WAFUGAJI NI JANGA-Lowassa
Waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa amesema matokeo mabaya ya mtihani wa darasa la saba katika shule za msingi zilizoko maeneo ya wafugaji ni janga na pia ni kikwazo kukubwa cha jitihada za...
View Article