IKULU YA TANZANIA YAHUSISHWA NA ESCROW-BBC
Bunge la Tanzania hapo juzi liliambiwa kwamba afisa mmoja wa ikulu ya rais bwana Prosper Mbena aliandika barua ili kushinikiza hatua ya kutolewa kwa billioni 306 fedha za Escrow kutoka banki kuu ya...
View ArticleMO AZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA CCM SINGIDA
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Gulam Dewji akisalimiana na wapiga kura kura wake na wananchi wa jimbo la Singida mjini mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Kibaoni tayari kuzindua...
View ArticleUNESCO WAANZISHA PROGRAM YA UTAMADUNI KUKABILI UKIMWI
Afisa Ardhi na Mazingira wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala (Kahama), Zablon Donge, akifungua rasmi warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI kwa niaba ya Mkurugenzi wa wilaya hiyo,...
View ArticleTAARIFA YA BENKI YA MKOMBOZI DHIDI YA SAKATA LA ESCROW
UtanguliziTaarifa hii inatolewa kwa umma kutokana na ripoti mbalimbali zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari mitandao ya kijamii na taarifa iliyotolewa kwenye mjadala katika Bunge la Jamhuri ya...
View ArticleRAIS KIKWETE AMTEUA PROF. MUSSA JUMA ASSAD KUWA CAG
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu,...
View ArticleHOTUBA YA MWENYEKITI WA BAVICHA KILIMANJARO WAKATI WA UZINDUZI WA KAMPENI...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. Tunaanza rasmi kampeni leo- Novemba,30 2014 kwa ajili ya uchaguzi utakaofanyika Desemba 14, 2014.Hii fursa njema kwa ajili ya kuwachagua viongozi tutakao shirikiana nao...
View Article'CONDOM' ZATUMIWA NA KUFULIWA TANZANIA-BBC
Wakati Dunia nzima leo, Desemba mosi, ikiadhimisha siku ya kupambana na maambukizi ya UKIMWI, Nchini Tanzania kuna maeneo machache ambayo baadhi ya watu wake hawana uelewa thabit wa kutumia mipira ya...
View ArticleSHULE YA WALEMAVU BUHANGIJA JUMUISHI YAELEMEWA NA CHANGAMOTO
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya...
View ArticleWAKAZI WA ARUSHA WAFURAHIA GULIO LA VODACOM EXPO
Baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha waliofika katika mabanda ya Vodacom yaliyokuwa katika uwanja wa Sheaik Amri Abeid kwa ajili ya kupata huduma za simu za mkononi zilizokuwa zikipatikana uwanjani hapo...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI,...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Mkuu wa mkoa wa Njombe, Dkt. Rehema Nchimbi, kwa pamoja wakisimama kupokea maandamano wakati wa sherehe za Maadhimisho ya...
View ArticleBODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA...
Wawakilishi wa Cafe Africa,Catherine Mwangata(Coutry Manager) na Wiliam Wakuganda(Special Advisor) wakifuatilia mjadala wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa ,uzinduzi...
View ArticleDkt.Kigwangalla akemea viongozi wabadhirifu
Mbunge wa Nzega Dkt Hamis Kigwangalla amekemea tabia ya serikali kutochukua hatua kali za kisheria kwa baadhi ya viongozi wanaochukua mali za umma na kugawana kama karanga inawafanya wananchi kukosa...
View ArticleOptimism and opportunity abounds but a bumpy and slow journey ahead for some:...
JOHANNESBURG, South-Africa, December 2, 2014/ -- The African continent continues to attract the interest of global investors, developers and operators searching for growth. While there are short term...
View ArticleINASIKITISHA: Mtunisi afikishwa mahakamani kwa kumpiga mkew
Mtunisi alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo Manzese Sinza jijini Dar es Salaam Jumatatu iliyopita, ambapo baada ya kusomewa shtaka lake la kushambulia mwili, mtuhumiwa alikana na hivyo hakimu...
View ArticleFootball Stars, Celebrities, International Health Organizations and...
Public education campaign emphasizes vital role of healthcare workers and features new Ebola prevention communications for West Africa, including ‘We’ve Got Your Back’ PSAMALABO, Equatorial Guinea,...
View ArticleUWEZO WA VYUO VIKUU KUCHUKUA WANAFUNZI WA SAYANSI BADO CHANGAMOTO KWA...
Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Ufundi nchini Tanzania Mh. Dkt. Shukuru Kawambwa akifungua mkutano wa kimataifa wa kutathmini mafanikio na changamoto za utekelezaji wa malengo ya Mpango wa Kimataifa wa...
View ArticleMBUNIFU WA MAVAZI SHERIA NGOWI AKUTANA NA WAZIRI MKUU PINDA
WaziriMkuu, MizengoPinda akisalimiana na Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi alipotembelewa jana nyumbani kwake Masaki jijini Dar esSalaam. (Picha Zote: AtuzaNkurlu-SheriaNgowi Brand).Mbunifu...
View ArticleTBL YAMKABIDHI KAMANDA MPINGA RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA NCHINI
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Stephen Kilindo,(kushoto), akimkabidhi Kamanda Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mohammed Mpinga. Ripoti ya Upimaji wa...
View ArticleUONGOZI WA CHADEMA WAKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA BUNGE LA ULAYA NCHINI UBELGIJI
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demoikrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Profesa Abdalla Safari na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu wakiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa...
View ArticleMIMBA YAWAACHISHA SHULE WANAFUNZI 808 KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 8 NCHINI.
Takriban wasichana 808 wameacha shule katika kipindi cha miaka minane katika jimbo la Rukwa nchini Tanzania kutokana na mimba ,mkuu wa elimu katika jimbo hilo Fanuel Mkaruka amesema.Bwana Mkaruka...
View Article