Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Alhaj Dk Juma Ngasongwa akichangia wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa. |
Mtafiti mafunzo, usambazaji na teknolojia kutoka taasisi ya utafiti wa zao la Kahawa (TACri),Jeremia Magesa akichangia jambo wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa. |
Mwakilishi wa Cafe Africa nchini Tanzania ,Catherine Mwangata akifafanua jambo wakati akiwasilisha mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa uliozinduliwa na Bodi ya Kahawa nchini (TCB). |