KINANA NDANI YA RUNGWE
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) akimsaidia kupasua ubao fundi, John Mwandosya ( watatu), aliposhiriki ujenzi wa vyumbavya maabara katika shule ya sekondari Mwakaleli, wilayani Rungwe...
View ArticleHALI YA UTULIVU YAREJEA KATIKA JIMBO LA TURKANA-KENYA
Jamii za Pokot na Turkana zimekua zikizozania maliasili kwa manufaa ya mifugo wao Polisi nchini Kenya wamesema kua hali ya utulivu imerejea katika kijiji kilichokuwa kimezingirwa na wavamizi kutoka...
View ArticleGAZETI LA MWANANCHI LAJITOKEZA KUDHAMINI TAMASHA LA HANDENI
Na Mwandishi Wetu, Handeni KAMPUNI ya Mwananchi Communication Ltd (MCL), imejitokeza kudhamini Tamasha la Utamaduni wilayani Handeni mkoani Tanga, linalotarajiwa kufanyika Desemba 14 katika Uwanja wa...
View ArticleKINANA AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA MALAWI WILAYANI ILEJE
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipita katika daraja la mto Songwe, kutoka upande wa Isongole, Ileja mkoani Mbeya, kwenda Ibilima, Wilaya ya Chitipa upande wa Malawi, alipofika wilayani humo...
View ArticleKASSIM MAPILI KUONGOZA WAKONGWE WENZAKE KATIKA TAMASHA LA GURUMO DESEMBA 14...
MKONGWE wa muziki wa dansi Kassim Mapili amethibisha kushiriki Tamasha la Gurumo 53 litakalofanyika Jumamosi ya tarehe 14 mwezi Disemba mwaka huu.Mapili amesema si yeye tu, bali pia ataratibu mpango...
View ArticleCCM YAFANYA KUFURU TUNDUMA, MAELFU WAJITOKEZA, NAPE ABEBWA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutumia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mwaka, mjini Tunduma, wilayani Momba, jioni hii, Nov 28, 2013, akiwa katika ziara ya kukagua...
View ArticleFLAVIANA MATATA NI BONGE LA MWANAMITIND, NANI ANABISHA???
Juu na chini ni twasira mbalimballi za mlimbwende wa kimataifa Flaviana Matata katika matukio mbalimbali
View ArticleMAFURIKO YA KINANA YAMSOMBA KATIBU WA CHADEMA CHUNYA
Bryson Mwasimba aliyekuwa Katibu wa CHADEMA wilaya ya Chunya, akionbyesha kadi yake ya chama hicho, kabla ya kumkabidhi Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto), katika mkutano wa hadhara...
View ArticleMIKUTANO, SHUGHULI ZA KINANA CHUNYA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipandisha bendera kuzindua shina la wajasiriamali wa CCM, katika kituo cha mabasi cha mjini Chunya, akiwa katika ziara kukagua utekelezaji wa ilani ya chama,...
View ArticleKINANA AKAGUA UJENZI BARABARA YA MBY-CHUNYAKatibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kulia) akikagua ujenzi wa barabara ya lami ya eneo la kilometa 30 kutoka Mbeya hadi Chunya, wakati msafara wake ulipopita katika barabara hiyo ukienda...
View ArticleTABU LEY "PASCAL ROCHEREAU "AFARIKI DUNIA
Mwanamuziki wa Kikongo wa siku nyingi Pascal Rochereau Tabu Ley amefariki dunia jana Novemba 30, 2013 akiwa na umri wa miaka 73.Msanii maarufu kama Baba wa Rhumba, Raia wa nchi ya Demokrasia ya Kongo,...
View ArticleWANAUME HANDENI WAMETAKIWA KUCHEKI AFYA
Na Kambi Mbwana, HandeniWANAUME wametakiwa kujenga tabia ya kucheki afya zao badala ya kuwaachia akina mama peke yao, ikiwa ni njia ya kupambana na ugonjwa wa Ukimwi uliozimishwa leo Dunia nzima, huku...
View ArticleKINANA NDANI YA MAKONGOLOSI-MBEYA
KATIBU Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana akishiriki na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kati) na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk. Asha_rose Migiro, katika ujenzi soko la Kata...
View ArticleYAYA TOURE NDIYE MCHEZAJI BORA AFRIKA
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu, Hatimae kile kinyang’anyiro cha mwanasoka bora wa Bbc kimemalizika,Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Ivory Coast, Yaya Toure ameibuka mshindi wa tuzo ya...
View ArticleKINANA AFUNIKA RUJEWA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa shue ya Msingi Rujewa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na...
View ArticleBOKO HARAM WASHAMBULIA NGOME YA JESHI KASKAZINI MASHARIKI MWA NIGERIA
Wapiganaji wa Boko HaramWapiganaji wa Boko Haram wameshambulia ngome ya kikosi cha anga cha Jeshi Kaskazini Mashariki mwa Nigeria na kuharibu helkopta mbili maafisa wa serikali wamesema. Mashuhuda wa...
View ArticleMASIKINI MANDELA!!!...SASA HAWEZI KUZUNGUMZA
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson MandelaRais wa kwanza mwaafrika wa Afrika Kusini, Nelson Mandela anaendelea kupambana na ugonjwa akiwa bado kitandani, binti yake Makaziwe Mandela amesema.Bi...
View ArticleMTU MMOJA APATA AJALI KILIMANJARO NA KUSAGIKA MGUU
MZEE huyu wa jamii ya kabila la wamasai aliyetambulika kwa jina la ''Tulito'' Mkaazi wa KIA njia panda ya kuelekea uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airpot, Leo mda mfupi uliopita amepata...
View ArticleCCM YAITEKA MBEYA MJINI, CHADEMA WANYWEA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo jioni kwenye viwanja vya Ruanda Nzovwe, Mjini Mbeya leo jioni Maelfu ya wananchi wakaiwa...
View ArticleNELSON MANDELA AMEFARIKI DUNIA
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ameaga dunia. Mandela amefariki huko Johannesburg akiwa na umri wa miaka 95 na yeye ndiye aliongoza Afrika Kusini kutoka mikononi mwa watawala wa ubaguzi...
View Article