Quantcast
Channel: Kijiwe chetu blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1649

UGANDA: OFISI ZA MAWAKILI WA MBAMBAZI ZAVAMIWA

$
0
0
Ofisi mbili za mawakili wanaomuakilisha aliyekuwa waziri mkuu wa Uganda, Amama Mbabazi katika kesi yake kupinga ushindi wa rais Yoweri Museveni katika uchaguzi uliomalizika zimevamiwa na watu wasiojulikana jana usiku.

Mohamed Mbabazi, wakili anayeongoza mawakili wengine katika kesi hiyo ya Mbabazi, amesema vipakatilishi, tarakilishi na nyaraka zilichukuliwa kutoka ofisi yake.

Afisa mmoja wa ulinzi alipigwa na watu walioivamia ofisi hiyo. Ofisi nyengine iliyoingiliwa ni ya wakili Fred Muwema. Polisi Uganda wanasema wanafanya uchunguzi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1649

Trending Articles