WIKI NGUMU KWA BUNGE MAALUM LA KATIBA
WIKI hii ni kati ya wiki ngumu zilizowahi kulikumba Bunge Maalum la Katiba lililoanza mwanzoni mwa Agosti mwaka huu.Wakati Bunge linaanza mwanzoni mwa mwaka huu, wajumbe walitumia muda mwingi kujadili...
View ArticleKWEINGOMA WAAHIDI UHONDO WA NGOMA YA SELO TAMASHA LA HANDENI KWETU 2014
Na Mwandishi Wetu, HANDENIKIKUNDI cha ngoma cha selo kilichopo katika kijiji cha Kweingoma, wilayani Handeni, mkoani Tanga, kimesema kimepania vikali Desemba 13 mwaka huu kufanya balaa katika tamasha...
View ArticleKUNDI LA WAMAREKANI WAJA NCHINI KUTIZAMA FURSA ZA UWEKEZAJI
Baadhi ya Marais,Wenyeviti na Wakurugenzi wa Makampuni mbalimbali ya nchini Marekani waliokuja nchini kwa lengo la kutizama fursa za uwekezaji.Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Washington DC,Suleiman...
View ArticleSIDE BOY HATUNAE TENA
Msanii wa Bongo Fleva aliyewahi kutamba na nyimbo kama 'Kua uone', 'Usimdharau usiyemjua', Kwa mujibu wa mdogo wake Ally Khamis, anasema Kaka yao marehemu Said Salum Hemedy "Side Boy" amefariki dunia...
View ArticleMFUMO DUME NA MAWAZO MGANDO: KIKWAZO USHIRIKI WA MWANAMKE KATIKA UONGOZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza FM Radio, Nuru Kalufya akisimamia usajili wa washiriki wa mafunzo ya Maadili, Jinsia na Kuandika Habari za Migogoro yaliyoanza katika kijiji cha Uvinza, wilaya ya Uvinza...
View ArticleMSAFARA WA KINANA WASAFIRI KWA BAISKELI MILIMA YA USAMBARA KWENDA MKINGA,TANGA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa na viongozi, waandishi wa habari pamoja na wananchi wakiendesha baiskeli kwenda Kata ya Mg'aro katika mteremko wa milima ya Usambara, akitokea Lushoto...
View ArticleEntebbe na Bujumbura inakaribisha safari za ndege za uzinduzi za flydubai
Ndege za shirika la ndege la flydubai lililo na makao yake Dubai zilizozindua safari za kuenda Entebbe na Bujunbura zilitua leo na zilikaribishwa kitamaduni na saluti za mizinga ya maji na waakilishi...
View ArticleJK AFUNGUA RASMI BARABARA YA MWENGE-TEGETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Masaki Okada wakifungua kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa barabara ya Mwenge-Tegeta leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe...
View ArticleMWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR APIGA KURA YA WAZI YA HAPANA, ATOLEWA NJE KWA...
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Othman Masoud amepiga kura ya wazi na amepiga hapana kwa sura na vifungu kadhaa, na vyengine amevikubali. Baadae mjumbe mmoja ameomba nafasi ya kutoa taatifa na...
View ArticleYES TANZANIA YAFUNGUA DARASA LA MATEJA
Katibu wa Shirika la YES Tanzania Lusajo Mwamakura akizungumza na waathirika wa dawa za kulevya mara baada ya kuanza kutolewa elimu kwa vijana hao ambao wengi wao wanatoka katikati ya mji wa...
View ArticleMWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR AKAMATWA BAADA YA KUPIGA KURA YA "HAPANA".
Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinasema kuwa, leo muda mfupi uliopita Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Othman Masoud baada ya kupiga kura ya wazi ya Hapana kuhusu katiba amekamatwa na watu wa idara ya...
View ArticleDALADALA YA KCMC YAPARAMIA KEEP LEFT YA YMCA-MOSHI
Gari aina ya Toyota Hiece linalofanya safari yake kati ya KCMC na katikati ya mji likiwa katika bustani ya mzungko wa YMCA baada ya kupitiliza toka barabarani. Sehemu ya uharibifu uliofanyika baada ya...
View ArticleUZINDUZI WA REDIO JAMII UVINZA: MKUU WA MKOA AHIMIZA WELEDI, UADILIFU NA AMANI
Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mwalimu Hadijah Nyembo (kulia) akitoa nasaha zake kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya (wa pili kulia) kuzungumza na...
View ArticleRHAPOSDY'S @ VIVA TOWER IS THE ONLY PLACE TO BE THIS SATURDAY!
<Mdau Amo Blaze aliyewahi kufanya kazi na EAST AFRICA RADIO kama DJ miaka ileeeee anaomba msaada tafadhali.
View ArticleUZALENDO KWANZA: PIGA KURA UBORESHE MAISHA YA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI
Shirika linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania Tuzo ya Haki za Binadamu ijulikanayo kama "Tulip" itolewayo nchini...
View ArticleSKYLIGHT BAND YAKWEA PIPA KUTUMBUIZA OMAN, YAWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE DAR
Uongozi wa Skylight Band unawaomba radhi mashabiki wake wa Dar es Salaam kwa kutokuwepo nchini kwa ajili ya kutoa burudani jioni ya leo kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki pamoja na siku...
View ArticleDSTV TANZANIA YAZINDUA KIFURUSHI KIPYA
Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kulia), akisisitiza jambo wakati wa uzinduziwa kifurushi kipya cha DSTV Bomba.(katikati), Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice...
View ArticleWAFANYAKAZI WA UNFPA, TUSHIKAME PAMOJA FOUNDATION NA PROJECKT INSPIRE...
Daktari kijana Brian Mushi wa Projeckt Inspire akionyesha upendo kwa mmoja wa wazee wanaoishi kwenye kituo hicho kilichopo Msimbazi Centre mara baada ya kumpima Presha wakati wa maadhimisho ya siku ya...
View ArticlePhilips announces collaboration with PowerFree Education Technology (PET) to...
⁻ Partnership aimed at addressing the high rates of preventable infant mortality across Africa⁻ Philips unveils power-independent wind-up fetal Doppler; a clinical innovation that addresses...
View ArticleTAMASHA LA SANAA NA UTAMADUNI LA KIMATAIFA JAMBO FESTIVAL KUFANYIKA JIJINI...
Wasanii wa muziki wa asili wakitoa burudani katika tamasha la Jambo festival.Mwenyekitiwa Tamasha la sanaa na utamaduni Arusha maarufu kama JamboFerstival Augustine Michael NamfuaJiji la Arusha...
View Article