CFAO MOTORS WAWEZESHA WAPENZI WA FORMULA ONE DAR KUONA GEMU
Kukiwa na wanawake warembo katika magari yanayomeremeta, waliovikwa na nguli wa mavazi Ally Rhemtulla kwa ajili ya kupokea wageni kwenye hafla ya kuona mashindano ya magari ya Formula One iliyoandaliwa...
View ArticleSKYLIGHT BAND YATIKISA JIJI LA DAR NYAMA CHOMA FESTIVAL
Sam Mapenzi, Joniko Flower na Hashim Donode wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika miwshoni mwa juma katika viwanja vya michezo vya chuo kikuu cha Dar es...
View ArticleTAMASHA LA 'HANDENI KWETU LAPANIA KUVUNJA REKODI YA 2013
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAMMRATIBU Mkuu wa Tamasha la Utamaduni Handeni, maarufu kama ‘Handeni Kwetu’, Kambi Mbwana, ameapa kuhakikisha kuwa tamasha lao msimu wa 2014 linakuwa la aina yake na...
View ArticleNAPE ATOA DARASA KWA VIONGOZI WA CCM UINGEREZA
Katibu wa NEC itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na viongozi wa mashina ya CCM Uingereza ambapo aliwaambia matawi ya CCM nje ya nchi yawe mawakala wa kuleta mabadiliko ndani ya chama...
View ArticleArticle 1
TAMASHA KA FIESTA 2014 LASAMBAZA UPENDO WAKUTOSHA KWA WAKAZI WA MUSOMAWasaniii walioshiriki tamasha la Fiesta 2014 wakiwa na mishumaa jukwaani wakisambaza upendo na kuwafariji wale wote waliopotelewa...
View ArticleMWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI,JAMES MBATIA AKARIBISHWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA...
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa ,James Mbatia akipungungia wananchi wakati msafara wa pikipiki na magari ukipita katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Vunjo.Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa ,James...
View ArticleNEW UN RESIDENT COORDINATOR AND UNDP REPRESENTATIVE PRESENTS CREDENTIALS TO...
The UN Resident Coordinator and UNDP Representative, Mr. Alvaro Rodriguez has officially presented his credentials to the Government. The Minister of Foreign Affairs and International Cooperation Mr....
View ArticleJOPO LA MAJAJI KWA AJILI YA KUMTAFUTA MSHINDI WA TUZO YA RAIS YA HUDUMA ZA...
Mgodi wa dhahabu wa Geita Gold Mine uliopo mkoani Geita. Mgodi huu ni moja ya makampuni yanayowania tuzo ya Rais ya Huduma za Jamii na Uwezeshaji.Mshauri wa Mkurugenzi Mtendaji wa Geita Gold Mine...
View ArticleVIJANA WEKENI MSISITIZO MASOMO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILI MUWE WAJUZI NA...
Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu, Mhe. Benjamini Wiliam Mkapa akiwahutubia Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam. Baadhi wa...
View ArticleTANCIS KUPUNGUZA MUDA NA KUIONGEZEA MAPATO SERIKALI
Mkurugenzi Mkazi wa ASASI isiyo ya kiserikali ya kupiga vita umaskini Actionaid Tanzania (AATZ), Yaekob Metena akifungua kongamano la siku tatu kwa asasi zisizo za kiserikali, wawakilishi kutoka...
View ArticleMGIMWA ACHANGIA BATI 100 UJENZI WA SHULE YA MSINGI LUKWAMBE NA ZAHANATI YA...
Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa (kulia) akikabidhi ahadi ya bati 100 alizokuwa ameziahidi mbunge aliyepita marehemu Dr Wiliam Mgimwa kwa viongozi wa kijiji cha Mangalali kwa ajili ya...
View ArticleUKAWA WAKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI LEO
Umoja wa katiba ya wananchi nchini Tanzania-UKAWA- uliolisusia Bunge maalum la katiba tokea mwezi Aprili, leo ulikuwa na mkutano na waandishi habari .Madhumuni ya mkutano huo ni kueleza msimamo wa...
View ArticleLAUNCH OF CERTIFIED APPRENTICESHIP PROGRAM IN HOTEL OPERATION
Representatives from ILO, TUCTA, ATE and HAT in a group photo with the apprentices during the launch of the programme held in Dar es Salaam on 5TH AUGUST 2014.The launch was coupled with the signing of...
View ArticleJK, UKAWA WAMTIA KITANZI SITTA
UAMUZI uliofikiwa na viongozi wa vyama vya siasa na Rais Jakaya Kikwete umemweka katika wakati mgumu Mwenyeki wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuahirisha au la vikao vya Bunge hilo.Hii...
View ArticleIPTL YAMSHITAKI ZITTO KABWE
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini,...
View ArticleMKUTANO WA 24 WA MWAKA WA WANACHAMA NA WADAU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF...
Mgeni Rasmi katika Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwigulu Nchemba akitoa hotuba yake wakati akifungua mkutano huo unaofanyika kwenye...
View ArticleBREAKING NEWS!!!..PISTORIUS HAKUKUSUDIA KUUA
Pistorius amekana kumuua mpenzi wake kwa makusudiJaji anayetoa uamuzi katika kesi ya mauaji inayomkabili Oscar Pistorius, amesema upande wa mashitaka umekosa kuthibitishia kikamilifu shitaka kuu la...
View ArticleTANZANITE YAING'ARISHA TANZANIA KIMATAIFA.
Wadau mbalimbali wa madini ya vito waliopata bahati kutembelea Banda la Tanzania katika siku ya kwanza ya Maonesho ya 54 ya Kimataifa ya Vito na Usonara ya Bangkok, wakishangazwa na mng’ao wa Kito cha...
View ArticleMECHI 7 ZITAKAZOAMUA HATMA YA ARSENAL MBIO ZA UBINGWA MSIMU HUU HIZI HAPA!
Arsenal, ambao Msimu huu wamejizatiti kuwania Mataji hasa baada ya Msimu uliopita kubeba FA CUP likiwa Kombe lao la kwanza tangu 2005, wanakabiliwa na Mechi 7 mfululizo zijazo ambazo zitaamua Msimu huu...
View ArticleDIEGO COSTA, CESC FABREGAS NA JOSE MOURINHO USO KWA USO TUZO YA MWANASOKA...
WADHAMINI wa Ligi Kuu England wametangaza Listi ya Wagombea wa Tuzo za Mwezi za Meneja Bora na Mchezaji Bora na miongoni mwao ni Jose Mourinho, Meneja wa Chelsea, huku Wachezaji wake Diego Costa na...
View Article