MKurungenzi wa kampuni ya ujenzi wa barabara Iringa ya GNSM Bw Geofrey Mungai na mkewe Sarafina Mungia katikati wakikabidhi baada ya misaada yenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 1 kwa mlezi wa kituo cha yatima Tosamaganga Godfrida Mhongole
Bw Mungai akishuhudia jinsi watoto wanavyohudumiwa
Bi Sarafina Mungia na Geofrey Mungai wakiwatazama wahudumu wakiwalisha watoto yatima wa Tosamaganga Iringa
Bw Geofrey Mungai akisaidia kuwapa uji watoto yatima wa Tosamaganga Iringa baada ya kumaliza kuwapa msaada wa chakula cha Krismas na mwaka mpya