Quantcast
Channel: Kijiwe chetu blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1649

KAMATI YA BUNGE NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA TAASISI YA TIBA YA MIFUPA , UPASUAJI WA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU (MOI)

$
0
0
Kamati ya Kuduma ya Bunge, Huduma za Jamii ilipo Tembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na  kutembelea Vyumba vya Wagogonjwa Mahututi (ICU) katika Taasisi hiyo.
Kamati ya Kuduma ya Bunge, Huduma za Jamii ilipo Tembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na  kutembelea Vyumba vya Upasuaji katika Taasisi hiyo.
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo  Dk,  Othman  Kiloloma (kulia) akionyesha mashine zilizo mbovu kwa Kamati ya Kudumu ya ya Bunge ,Huduma za Jamii. 
Kamati ya Kuduma ya Bunge, Huduma za Jamii ilipo Tembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na  kutembelea Vyumba vya Upasuaji katika Taasisi hiyo.
Mbunge wa Viti Maalum Rukwa  Abia Nyabakari (kushoto)  akisalimiana na Waziri wa Afya Dkt. Seif Rashid, baada ya kutembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI), katikati anaye shuhudia ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo  Dk,  Othman  Kiloloma

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1649

Trending Articles