Kamati ya Kuduma ya Bunge, Huduma za Jamii ilipo Tembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na kutembelea Vyumba vya Wagogonjwa Mahututi (ICU) katika Taasisi hiyo. |
Kamati ya Kuduma ya Bunge, Huduma za Jamii ilipo Tembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na kutembelea Vyumba vya Upasuaji katika Taasisi hiyo. |
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Dk, Othman Kiloloma (kulia) akionyesha mashine zilizo mbovu kwa Kamati ya Kudumu ya ya Bunge ,Huduma za Jamii. |
Kamati ya Kuduma ya Bunge, Huduma za Jamii ilipo Tembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na kutembelea Vyumba vya Upasuaji katika Taasisi hiyo.
|